

Lugha Nyingine
个性化多用途 爱普生Pro100宽幅标签机首发评测
![]() |
Picha hii iliyopigwa tarehe 1 Aprili 2025 ikionyesha barabara kuu ya kiwango cha juu kutoka Lhasa hadi Nyingchi katika Mkoa unaojiendesha wa Xizang, kusini-magharibi mwa China. (Xinhua/Jigme Dorje) |
LHASA - Kuanzia mwaka 2012 hadi 2024, Mkoa unaojiendesha wa Xizang, kusini-magharibi mwa China umekamilisha uwekezaji wa jumla wa thamani ya yuan bilioni 401.925 (dola za kimarekani kama bilioni 55.86) katika mali zisizohamishika kwenye usafirishaji wa barabara kuu, na jumla ya urefu wa barabara kuu imeongezeka kutoka kilomita 65,200 mwaka 2012 hadi kilomita 124,900 ilipofikia mwishoni mwa mwaka 2024.
Mtandao wa usafirishaji wenye kiini chake katika Mji wa Lhasa na kupanuka kuelekea hadi miji ya Xigaze, Shannan, Nyingchi na Nagqu umeanzishwa, ambao unahimiza maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kunufaisha watu wa makabila yote.
Miujiza ya Wanyamapori: Kutoka Mbuga Tambarare za Afrika hadi Uwanda wa Juu wa Qinghai -Tibet, China
Mandhari ya Kipekee ya Karst katika Mkoa wa Guizhou yavutia watalii
Tamasha la kimataifa la densi lafunguliwa katika Mkoa wa Xinjiang, China likiwa na maonyesho 52
Wakulima wa China wawa na pilikapilika za uzalishaji wa kilimo katika kipindi cha Dashu
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma