

Lugha Nyingine
达康书记参演吴京《战狼2》 亲自去非洲抓丁义珍?
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 22, 2023
百度 深入开展理想信念教育,教育引导广大机关党员干部牢记党的宗旨,挺起共产党人的精神脊梁,自觉做共产主义远大理想和中国特色社会主义共同理想的坚定信仰者和忠实实践者。
HANGZHOU - Xi Jinping, Rais wa China ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), amekagua Mji wa Shaoxing wa Mkoa wa Zhejiang, Mashariki mwa wa China siku ya Jumatano alasiri.
Rais Xi ametembelea ukumbi wa maonyesho kuhusu “Uzoefu wa Fengqiao" akifahamishwa mchakato wa kutolewa na kuendelea kwa uzoefu wa Fengqiao kuhusu usimamizi wa jamii mashinani, na hali yake ya uvumbuzi na maendeleo katika zama mpya.
Pia ametembelea bustani ya utamaduni wa mfereji ili kufahamishwa kuhusu historia ya mfereji wa kale, uhifadhi wa Mfereji Mkuu, na hali ya ujenzi wa bustani ya utamaduni ya kitaifa ya Mfereji Mkuu.?
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma